AUDIO | BadSpenderz ft Freddie FidoVato Bounako D Maujanja Moplus – Wataelewa tu | Download

Hip-Hop Collabo toka kwa BadSpenderz waloipa jina “Wataelewa tu” wakiwakilisha Arusha na hapa wameshirikishwa wasanii kibao akiwemo Freddie FidoVato Bounako D Maujanja na Moplus, wimbo umetayarishiwa studio za Noizmekah chini ya producer Defxtro, Download HAPA na kwa mawasiliano/Mahojiano zaidi check na Badspenderz kupitia +255 759 737 673 au +255 764 614 388 powered by www.vmgafrica.com

May C toka Arusha ndani ya Eatv Friday Night

Kwa waliokosa kuchek FNL (Friday Night Live) tarehe 20,check out May C aka MayChedda’s interview HAPA akitambulisha official video ya wimbo wake, “Rudgalz” na kuzungumzia changamoto  katika muziki na pia mipango yake mipya katika sanaa. Pia Download audio ya Rudgalz HAPA MayChedda EATV interview http://youtu.be/qx_I2cHvQAk MayChedda-Rudgalz http://goo.gl/fGdDPI Facebook page https://www.facebook.com/pages/Maychedda/413286952096178?hc_location=timeline

AUDIO | MarcoChali Foundation[VanStar, Amiri, Kulea, Unique, D-Xypher, Waziri Wazzy – Sijalewa Leo | Download

Huu ni wimbo mpya wa MARCO CHALI FOUNDATION unaitwa SIJALEWA LEO, MARCOCHALI FOUNDATION na ZANTEL imeanzisha EPIC OPEN MIC kwa nia ya kusaidia vipaji vya wasanii wachanga, na mpaka sasa imefanikisha round ya kwanza ambayo ilipata wasanii 28 waliofanya vizuri. Lakini walioimba kwenye wimbo huu(SIJALEWA LEO) ni baadhi ya wale washiriki 28 walipatikana kwenye ROUND…