Lyrics | Mshindi by Appy

Ya kwetu mvua la kwetu jua Na tuka amini tutatusua Kwetu sio wakishua shida twazijua Maisha yetu yakuunga unga Ulo mmoja mchana usiku Shida ndo zimetuleaaah Tukajikongoja mchana usiku Tukaishi kwa mazoea aaah Maisha yanavuruga shida zakila muda Mpaka marafiki wakageuka yuda Tumelelewa na mitaa hatuna ndugu Na shida zimetufanya tuwe masugu Tushatembea sana kwa…

Lyrics | Bora Kushukuru by OBBY ALPHA

Bora Kushukuru Lyrics by OBBY ALPHA Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hivi nilivyo Maana hata Kuna wengine hawajafika nilipo Bora hata nimshukuru Mungu Kwa hiki nilichopata Maana hata Kuna wengine wamekosa kabisa Tabasamu njoo, Nataka nibadiri Wangu mtazamo niishi kitajiri Na wewe maumivu njoo, Nataka nibadiri Wangu msimamo niishi kijasiri Ile habari ya kulialia Kila…