VIDEO mpya ya msanii wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul, ‘Diamond
Platnum’, ‘Make me Sing’, inatarajiwa kuzinduliwa leo itakapochezwa kwa
mara ya kwanza katika televisheni ya MTV Base.
FRICA!!!! i know you been waiting for this…and it’s ready for You!… TANZANIA + SOUTH AFRICA = HIT… this Friday! #12022016
Platnum’, ‘Make me Sing’, inatarajiwa kuzinduliwa leo itakapochezwa kwa
mara ya kwanza katika televisheni ya MTV Base.
Diamond, anayetarajiwa kwenda nchini Marekani kufanya kazi na
mtayarishaji wa muziki, Swizz Beat pamoja na kupiga picha za video yake
aliyomshirikisha Neyo, katika video hiyo amemshirikisha mkali kutoka
Afrika Kusini, A.K.A.
Hivi juzi kati kupitia ukurasa wake mtandaoni, Diamond aliandika;