Tuzo Za Watu 2015 Yazinduliwa Leo

Mhariri mkuu wa Bongo5  Bw. Fredrick Bundara akiwa pamoja na mwariri msaidizi, Sandu George wakizungumza leo na waandishi wa habari katika uzinduzi wa Tuzo za watu 2015 Tuzo za watu zaja kivingine, vipengele vyaongezeka Kampuni ya Bongo5 Media Group, imezindua msimu mpya na wa pili wa Tuzo za Watu Tanzania zilizoanzishwa mwaka jana ili kuwatuza…