Baada ya kuzungumzwa sana na kusifiwa hapa nchini huku ikichezwa mara
kwa mara na vituo mbalimbali vya runinga Tanzania, hatimaye video ya
wimbo wa kundi la Weusi ‘Nje ya Box’, imechezwa katika moja kati ya
vituo vikubwa vya runinga, Channel O.
kwa mara na vituo mbalimbali vya runinga Tanzania, hatimaye video ya
wimbo wa kundi la Weusi ‘Nje ya Box’, imechezwa katika moja kati ya
vituo vikubwa vya runinga, Channel O.
Video ya Wimbo wa Nje ya Box iliyofanywa na Joh Makini, Nikki wa Pili na
G-Nako, iliongozwa na Nisher, na story yake iliandikwa na Joh Makini.
Hii inakuwa video ya kwanza ya Weusi kuchezwa katika kituo hicho, lakini
pia kwa mujibu wa Joh Makini ndi video yenye gharama kubwa zaidi kuliko
video zote za Weusi.
G-Nako, iliongozwa na Nisher, na story yake iliandikwa na Joh Makini.
Hii inakuwa video ya kwanza ya Weusi kuchezwa katika kituo hicho, lakini
pia kwa mujibu wa Joh Makini ndi video yenye gharama kubwa zaidi kuliko
video zote za Weusi.
Nimeipenda yote ya kweli .Demu wa Mchaga mkokitandani anasema aka baba angu hujapiziii bado mie nataka nihesabu nmapato ya leo. tena wew unaendelea na mchezo yeye ana calkuleta