Linex – KWA HELA | Lyrics/Mashairi

  Song:KWA HELA   intro Jejejeda the V.o.a Ema the boy Verse one wanaosema hua nachezea nakuacha  hawaijui siri kubwa na maumivu niliyoyaficha walimwengu wanakutisha mila macho ukifikicha siunajua ugonjwa wangu Wa moyo nikishapenda nimependa x2 hujanipendea pesa wala majumba Kama ya bwana Alma’s ni kwa neema zake nikwa Neema zake yeye ni kwa Neema…

Nay Wamitego – Shika Adabu Yako | Lyrics/Mashairi

[Intro] Wanabebwa na refa na bado nacheza rafu Mi siogopi kufa, ngoja kwanza nipige pafu Sss, ehe-hee pumbavu! Wapinzani wajipange round hii ni ligi ndefu Haya najisikia kuwachana (wachane) Niwachane? (Wachane!) Najisikia kutukana (watukane) Eh, niwatukane? (Watukane!) [Verse 1] Haya naanza kuchana, kuhusu wasichana Hawa ndio mama zetu ila sometimes hawana maana Wapo wanaofanya mziki…