Mbooso, amedondosha rasmi ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la “Pawa”, ikiwa ni wimbo wa kwanza kwenye EP yake mpya yenye nyimbo 7, chini ya lebo yake mpya kabisa – KHANMUSIC.
Katika ngoma hii, Mbooso anatuletea simulizi tamu la mapenzi, akiwa anamuelezea mpenzi wake kama chanzo cha nguvu, faraja, na msukumo katika maisha. Kwa sauti ya upole iliyojaa hisia, mashairi yake yanafika moja kwa moja moyoni:
“Kamusi namaliza kurasa kukusifia,
Kama penzi ni chupa ya bia – nipe sana niwe mlevi…”
Ni mistari ya kipekee inayovunja mipaka ya kawaida ya uandishi wa mashairi ya muziki wa Bongo Flava. Mbooso haishii hapo – anazidi kuonyesha namna mpenzi wake ni dira na msaada wa maisha:
“Ni yumbe yumbe njia, kwa maana we mlezi na unanijulia,
Pawa pawa, naishiwa pawa, penzi lako mizani nzito – naishiwa pawa…”
Ngoma hii imekuja na miondoko laini yenye ladha ya Afro-Bongo, ikiwa na production safi inayomtoa Mbooso kwenye ngazi ya msanii wa kawaida hadi kuwa sauti ya kupasua anga.
PAWA: Mwanzo wa Safari Mpya
“Pawa” si tu wimbo wa mapenzi – ni ishara ya mwanzo mpya kwa Mbooso. EP hii mpya inaonekana kuja na maudhui ya kina, na “Pawa” imefungua milango kwa mashabiki kutarajia ngoma nyingine kali zenye hadhi ya kimataifa.
Kwa mashabiki wa muziki wa mapenzi, huu ni wimbo wa kuuweka kwenye repeat. Ujumbe, sauti, na hisia – vyote vimekamilika!
Mbosso level nyingine aisee👐
This is unbelievable Khanmbosso
Noma Sana
This is too hot, so great, and exciting one
Mwana kirungi unahatareeee
Nyinbo konki sanaa
Nice job khan
Hit ep i love your music Khan am your top fan from Zambia
Just wow cant get enough of this lyrics 🥰🥰Ila mistari ya mbosso inaeza kufanya ujipake viungo vya pilau wallah 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣kbsa
Fire 🔥
Ukimsikiliz mboss saan utajua mapenz ni lais San ila ujichanganye uwone
Noma sana mbossokhan
kaka upo vlz sana enderea kutupa buludan tuna enjooy sana
Huna baya kakaa
Huna shoo mbovu we😘
Nice my brother
Oya we jamaaa n 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥fayaaaaa nakukubali kaka daah umeugusa moyo wng aiseeeee🫀
#mtotowageita
Tanzania hii kuna wasanii wengi duniani pia kuna wasanii wengi in short msanii mkubwa Tz ni diamond but namkubali sana ila for you mboss can ooh my good am confused for your voice ma bro we ni noma yani 🔥🔥 alafu kuna marioo toto bad alafu kuna bomboclaaa🚬
Huna bayaaa
Atar sana
Ukimsikiliz mboss saan utajua mapenz ni lais San ila ujichanganye uwone
Nice🥰🌹🌹🌹
Nakubal keep it up
Nakubali kaka kutoka u.s.a ugagani steet 8 k.j.e.
Unajua kupitiliza
Uko Vizuri bro, Keep going Mboso
Number one Trend in Kampala Uganda
Nduguyangu mbosso unajua kwenye uwandishi na kuimba piaunajua sana kaka
Good work my brother you should be straight forward strong 💝🙏🙏🙏🙏we ara together
Noma sana kaka🔥🔥🔥🔥🔥
UH vzzr good good mbosso nice to meet you
Unajuwa broo
Umetixha KaKa
Umetisha sanaaa
Mzee wa kaliua Mboso khani🔥🔥
Nakubali
Nampenda sanaaaa nyimbo zako
Napenda sanaaaa nyimbo zako maana unajuwa mpka unajuwa tena
Nawapenda sana wasanii wetu wa Tanzania but mbosso,marioo,na harmonize nawapenda sana
Ni noma sana mbosso khan
Mboss wewe ninoma sana mungu azidi kuku weka zaidi bro..
Aiseee🙌🙌
🥰🥰🥰😍😘
Hongera sana kaka umetisha sana mbosso khan
Nakubal keep it up
Mboso ni noma sana
Mapenzi kayachunguza mbosso
blaza unajua mpaka unajua tena nice to mit you
Huu wimbo nimeipenda sana utunzi unamantiki
In my lololo
Mboso mwamba
wimbo mzuri Sana huu nasikiliza na mke Wangu🤩
big up tu sana
Mmh….you make us happy on over,never decaying brother…khan
Keep it up