Download | Play Now

AUDIO | Diamond Platnumz – Nitafanyaje | Download

Download | Diamond Platnumz – Nitafanyaje [Mp3 Audio]

 

Lyrics: Nitafanyaje by Diamond Platnumz

Siwezisema kitandani, labda umasikini wangu
Ndo kinayonishusha thamani watahminike wenzangu
Siwezisema skujali (Labda vizawadi vywangu mimi)
Havikufikia ukubwa wanavitoa wenzangu

Kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)

Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa

Sema nitafanyani
Ndo ivo nitafanya
Ila nitafanya nini
Ndo ivo nitafanyaje

Nashikwa nigagaziko kila nikiingia chumbani
Sijui nilalie tandiko ama sakafuni aah
Nachoka tu kwa nje ndani (Masikitikoo)
Sababu pengo lako honey (Bado lipoo)

Eeh, kinachoniumiza hauridhiki ugao wa Mola
Ningali kwa mimi mbona hujaombola
Na mbaya kabisa, rafiki wananichora
Kwa hizo posti zake na wenye nguvu (Kuyatoa hiyoo)

Oh oh mi moyo wangu mamaa
Unaona uchungu
Mwenzake mi moyo wanguu
Anauumiza sanaa

Oi, lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Maana natupa stimu na wanangu kulilia kijiti
Lije-lije, hii ngoma iweke lipiti
Sajuti ya wazimu kuitoa tu msema muziki

Kwa maana inatu (Fire) na inatu (Fire)
Mwanangu inawa (Fire) na inawa (Fire)
Machizi wote wanapata (Fire) eh wanapata (Fire)
Na mbegu zinapata (Fire) eh zinapata (Fire)

Namnema mwanangu kwa upande wa kanga
Nilitamani tenge ila sijajipanga
Namnema mwanangu kwa muda pata mwenzio
Nilitamani manasi ila ndo sina salio

Mama yo mama (Amenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yoyo (Wamenitenda kausha damu)
Oh mama yo maa (Wamenitenda kausha damu)

Asa waitee
Oya makofi kigogo nipe mawili
Ka hujatumika sana sehemu za siri
Kaso mlunganzila shepu asili
Sa nipe ya kibunge-bunge utitiri (Twen zetu)

Asa audi waletee, walete apa kati
Waletee haoo, walete apa kati
Waletee asaa, walete apa kati
Walete haoo, walete hapa kati

Eeh tunacheza mpaka sa ngapi tunachezaa (Mpaka asubuhi)
Tunaruka mpaka sa ngapi, tunaruka (Mpaka asubuhi)

Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona
Hivi tena, bado sijaona

Eeh (Kuelewa) aah
(Eeh unayumba) eeh (Sasa umeelewa) aah
Eh unayumba

We ndo si huelewa sa mbona unayumba
Unavyomwelewa eh unayumba

Oya wahuni wana namba zao zinaitwa (Apana chando)
Wanangu wana mamba zao zinaitwa (Selasini na mbili)
Masala wana mamba zao zinaitwa (Ishirini na sita)
Oya kuna wengine hawala namba