Verse
Najua kwamba mimi ni wako, Unanipenda Tena Sana
Nuru yako imenitowa Gizani Sitaogopa kamwe (repeat)
Hayayaya, Sitaogopa Kamwe,
Bonde la Mauti ,Sitaogopa kamwe,
Sitaogopa, Sitaogopa kamwe
Kwenye shimo la simba.Sitaogopa kamwe
Katika Giza tupu,Sitaogopa kamwe
Ndani ya bahari kuu, sitaogopa kamwe
Chorus
Nitawale Sasa na Hata Milele Bwana
Overpower All of me , the way you truly desire
Natamani kuongozwa, na Mkono wako wenye nguvu
Breath your fresh Air into my heart
Amen – Amen -Amen
YEBO- YEBO Jesu , YEBO – YEBO Jesu
YEBO -YEBO Ngidinga wena(repeat)