Download | Play Now

Lyrics Baby Mpya By D Voice Ft. Zuchu

Bongo Fleva music lovers, D Voice in collaboration with the beautiful Bongo star Zuchu have brought us a brand-new hit with captivating vibes titled “Baby Mpya”. This is a love song infused with sebene rhythms and a powerful message, sure to appeal to every fan of modern music.

In this article, we have prepared the full lyrics of this song in an organized format so that you can listen while reading along — something that will help you understand and fall even more in love with this hot new track!

D Voice Ft Zuchu – Baby Mpya audio Download LINK

Lyrics Baby Mpya By D voice Ft. Zuchu

ZUCHU (Intro & Verse):
Alokwambia kahadithiwa,
Na aliyehadithiwa kakosea kukwambia,
Na aliyemwambia alihadithiwa,
Na yeye akakosea kumwambia.

Wala sijafubaa,
Tena sikuhizi nimezidi utundu,
Nashukuru mashallah rangi kama mzungu,
Niliyempata kichaa nampa mpakaa aaah,

Ndani sebene sebene,
Hadi raha…

Chorus (Zuchu):

Sasa ya nini nifiche fiche,
Baby mpya mtamu,
Mimi mwenzenu siwezi kuficha,
Baby mpya mtamu.

Ya nini nijibane bane,
Baby mpya mtamu,
Mimi mwenzenu siwezi kuficha,
Baby mpya mtamu.

Verse 2 – D Voice

Na nilikua na kusitiri tu,
Maana nisikufiche we ni mbaya sana,
Mi nashukuru tulivyoachana,
Kurudiana tutaongopeana.

Naona unakazana,
Kushindana na walokuzidi,
Huyu mwenzako king anakuongoza ligi,
Utamaliza vioo kujiseti mawigi.

Nishavuka levo hizo,
Sitembei na ma bibi,
Sijafubaa tena sikuhizi nimezidi utundu,
Nashukuru mashallah, rangi kama mzungu,
Nilompata kichaa anipa mpakaa,

Ndani sebene sebene, hadi raha…

Chorus (Zuchu)

Sasa ya nini nifiche fiche,
Baby mpya mtamu,
Mimi mwenzenu siwezi kuficha,
Baby mpya mtamu.

Ya nini nijibane bane,
Baby mpya mtamu,
Mimi mwenzenu siwezi kuficha,
Baby mpya mtamu.

Bridge & Outro (D Voice & Zuchu):

Wekaa ayaa sasa ya leo kali mama,
Ya leo kali dada,
Ya leo kali dada,

Mama kafanyaje huyo?
Kapostiwa usoni amewekwa stika,
Kafanyaje huyo?
Kaenda kudanga, karudi kaachika.

Kafanyaaje?
Amenunua iPhone tandika,
Kafanyaje?
Kaambiwa ukweni hajulikani.

Haya usimuone anatetemeka, anaandida huyo,
Usimuone anarukaruka, anaandida.
Masela usimuone anatetemeka, ana andida huyo,
Msimuone anaruka ruka, ana andida.

Misifa mingine bhana,
We wala hainogi,
Misifa mingine bhana,
We wala hainogi.

Eti nikuongee simu halafu nadaiwa kodi?
Oyaa wee unaota eeh,
We nenda ukalale,
Kama nikikuhonga kweli,
Niite mbwa niko pale.

Oyaa wee unaota eeh,
We nenda ukalale,
Kama nikikuhonga kweli,
Niite mbwa niko pale.

Haya haukatazwi kulilia mapenzi mama Dullah,
Haukatazwi kulilia mapenzi mama Dullah.

Swali la msingi, ila kwanza umekula,
Swali la msingi, shoga kwanza umekula.
Haukatazwi kulilia mapenzi mama Dullah,
Ila swali la msingi, shoga kwanza umekula,
Swali la msingi, udugu kwanza umekula…

Acha… Aaaaaha… Aaaaahha… Veri gudiii!

AUDIO  Download LINK  Baby Mpya By D Voice Ft Zuchu

AUDIO | D Voice Ft. Zuchu – Baby Mpya | Download

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *