Nyimbo Kali. Pia wanaosema kuwa Mungu ulifananisha na mke hawakuelewa maana Yako Iko wapi. Mm ninajuwa hulikuwa unaeleza kuwa kama Mungu anayo huruma baisi mwanamke kwa ulimwengu wakidunia mama anayo nafasi kubwa mno.Na mwenye huruma nyingi sana kushinda sisi wazazi wakiume.
Konde boy hauna baya ukifa hauozi ukioza waje wanichune ngozi
Mindi unawasha hatari
Harafu usisahau na kutoa song jipya la kufikiria mwanamke ndie nyoka was Bustan ya Eden
Me nilikua naomba ututolee remix ya never kaka utatisha sana
Wimbo mzuri sana
💯💯💯💯harmonize
Snaaa kaka upo vzr 2024 hu mwaka niwako
Kila mwaka ni wakwetu wamakonde wawali
Nyimbo Kali. Pia wanaosema kuwa Mungu ulifananisha na mke hawakuelewa maana Yako Iko wapi. Mm ninajuwa hulikuwa unaeleza kuwa kama Mungu anayo huruma baisi mwanamke kwa ulimwengu wakidunia mama anayo nafasi kubwa mno.Na mwenye huruma nyingi sana kushinda sisi wazazi wakiume.
Harmonize ni msanii anaeimba vizuri sana
Kaka ukopoah sanaa
Watu hakuelewa maana
Ilahii nyimbo inamaanisha wana wake wanatusaidia sanaa piah wanauruma sanaa nikwelii haswaa
Nakubar good music
Unyama sana
Congrats well done brother
Unyama sana
Nipo mkoa wa Tanga ningeomba uje Tanga utafute vipaji kama Diamond anavyo wekeza Mtwara