AliKiba Kuachia Album DIARY OF ALIKIBA

Hatimaye Alikiba ameweka wazi jina la Album yake mpya inayotarajia kwenda kutoka mwaka huu.


Kupitia interview yake na TransAfricaRadio ya South Africa, Kiba amesema Album yake itaenda kwa jina la “DIARY_OF_ALIKIBA” na amechagua jina hilo sababu litabeba the whole of kiba.

Mbali na hilo, Kiba ametaja baadhi ya international artists watakaokuwa featured kwenye Album hiyo ikiwemo na Mama Yvonne Chakachaka, kundi la Micasamusic pamoja na wasanii wengine wa kimataifa atakokuja kuwataja hapo mbeleni.

Note That:

Diary Of Alikiba itakuwa ni Album ya tatu kwa Alikiba baada ya Album zake za awali #Sinderela ya 2008 na #Alllyk4Real ya 2010 ambapo Album yake ya pili iliweka rekodi ya aina yake kwa kuwa ya kwanza kwa mauzo East Africa, The most selling Album in East Africa.

Distribution ya Album hii itakuwa Worldwide kupitia Label yake ya SonyMusic kwa kutumia mfumo Digital platforms.

ad

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *