TCRA yatoa ruksa kwa video ya Zigo Remix yake AY kuchezwa usiku tu kwenye television!

Weka mbali na watoto, video ya Zigo Remix ya AY aliomshirikisha Diamond Platnumz, ruksa kuchezwa usiku kwa mujibu wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA.


TCRA imetoa taarifa hiyo kwenye mtandao wa Twitter wakati ikijaribu kumwelewesha AY pamoja
mashabiki wenye duku duku kuhusiana na uamuzi huo. Awali uamuzi wa TCRA
ulitafsiriwa kuwa video hiyo yenye views zaidi ya milioni 2.7 Youtube
imepigwa marufuku kabisa kuoneshwa kwenye TV za Tanzania






 

Download DJMwanga Android Application Click HERE

https://goo.gl/Dpx8j4
JIUNGE NAMI KUPITIA 
Twitter: @djmwanga     
Instagram: @djmwanga     
Facebook Fans Page: DJMwanga
ad

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *