Mwanamuziki anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki
Bongo, Fredrick Kalala ama jina la
usanii akijulikana zaidi, Fred Swagg ameachia wimbo mpya mtandaoni ‘NIMEWAKA’
au ‘Nimelewa’.
Bongo, Fredrick Kalala ama jina la
usanii akijulikana zaidi, Fred Swagg ameachia wimbo mpya mtandaoni ‘NIMEWAKA’
au ‘Nimelewa’.
Fred Swagg mkali wa vibao vya Maandishi alichowashirikisha Younf Killer na Kad
Go. Ameeleza kuwa katika wimbo wake huo
mpya wa Nimewaka, upo katika mahadhi ya
rap, ni maalum kwa watu wa rika zote
hasa sehemu za starehe ikiwemo Club.
Go. Ameeleza kuwa katika wimbo wake huo
mpya wa Nimewaka, upo katika mahadhi ya
rap, ni maalum kwa watu wa rika zote
hasa sehemu za starehe ikiwemo Club.
“Wimbo huu mpya wa Nimewaka ni wa ku-Party’
ndani yake kuna komediani ikielezea watu wanavyotumia pesa na kulewa
pombe za aina mbalimbali.. hivyo fans wakae mkao wa kula kuanzia sasa itakuwa
mtandaoni, ameleza Fred Swagg.
ndani yake kuna komediani ikielezea watu wanavyotumia pesa na kulewa
pombe za aina mbalimbali.. hivyo fans wakae mkao wa kula kuanzia sasa itakuwa
mtandaoni, ameleza Fred Swagg.
Fred Swagg
anabainisha video ya wimbo huo zinatarajia kuanza muda wowote kuanzia
mwezi ujao huku kwa sasa akiendelea na promo za nyimbo zake zingine
zinazofanya vyema kwenye vituo
vya radio mbalimbali za ndani na nje
wimbo wa ‘Kikomo’ aliomshirikisha Msanii, Da Prince na wimbo wa
Maandishi aliowashirikisha Young Killer na Kad-Go.
anabainisha video ya wimbo huo zinatarajia kuanza muda wowote kuanzia
mwezi ujao huku kwa sasa akiendelea na promo za nyimbo zake zingine
zinazofanya vyema kwenye vituo
vya radio mbalimbali za ndani na nje
wimbo wa ‘Kikomo’ aliomshirikisha Msanii, Da Prince na wimbo wa
Maandishi aliowashirikisha Young Killer na Kad-Go.
Kwa mahojiano zaidi Fred Swag anapatikana kwa namba +255753-544898

JIUNGE NAMI KUPITIA
Twitter: @djmwanga
Instagram: @djmwanga
Facebook Fans Page: DJMwanga