Wimbo huu Umeimbwa na baadhi ya waigizaji sauti nchini yani Oscar Petro maarufu kama Oscar
nyerere na Shaphii Omary maarufu kama dr.mfyuzi unaosisitiza Amani ya
nchi yetu Tanzania kwa kutumia sauti ya hayati Baba wa Taifa na sauti
ya raisi wa awamu ya nne dr Kikwete.Wimbo una mahadhi ya kuhutubia
lakini pia una chorus iliyoimbwa na Ally Nipishe toka THT.
nyerere na Shaphii Omary maarufu kama dr.mfyuzi unaosisitiza Amani ya
nchi yetu Tanzania kwa kutumia sauti ya hayati Baba wa Taifa na sauti
ya raisi wa awamu ya nne dr Kikwete.Wimbo una mahadhi ya kuhutubia
lakini pia una chorus iliyoimbwa na Ally Nipishe toka THT.
Video ipo njiani inayotarajiwa kutoka mwishoni mwa mwezi huu wa nane 2014.