
THE AVENUE | Kipindi Cha the Avenue TBC1 Mahojiano na FidQ
Maojiana na mshindi wa mtunzi bora wa muziki wa hiphop Kili awards na mmoja wa wasanii wa hiphop wakali bongo ambao tupitia mashairi yake ameweza tuelezea story yake ya mtaa, leo tunaongea na farid kubanda aka FidQ kuhusu mchango wa sanaa na wasanii wa kizazi kimya kwenye jamii. tafadhali tufuate facebook,instagram na twitter @mawazohuru au…