Raymond – Natafuta Kiki | Lyrics/Mashairi

[Verse 1] Nataka nitoke kwenye gazeti Niuze sura! Niseme ninatoka na Jokate… Kitandani kwisha na Feza Kessy Ama Snura Nilete matata mpaka kwa Grace Kwenye redio zote, mpaka runinga Nitangaze kwa kuvimba Kwamba Lulu anayangu mimba Au niwatukane wote wanaoimba Kwa dharau na kuvimba Mpaka yule anajiita Simba! Niseme madam Ritha katetema Akiniona anashindwa hata…

KUA WA KWANZA KUSIKILIZA KIONJO CHA WIMBO WA OMMY DIMPOZ ALIOMSHIRIKISHA ALI KIBA…!!

Wengi watakumbuka kua Ommy Dimpoz na Diamond walikua washkaji ile mbaya ila wakaja kutofautiana na kwa inavyosemekana kwa sasa hawaongeleshani wala hawawasiliani kabisa. Kwa muda kidogo Ommy Dimpoz alikua kimya ila wiki chache zilizopita aliamua kumtambulisha msanii wake mpya kutoka katika lebo yake ya PKP.  Pamoja na kumtambulisha Nedy siku si nyingi tutegemee bonge moja la kolabo kati ya Ommy Dimpoz na Ali Kiba. Ndio! Ni…